Monday, 18 August 2014

LULU awajibu wanaosema hawezi kumpata Justine Beiber

Muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu'.
Muigizaji  wa filamu Elizabeth Michael 'Lulu' anaendelea kuonesha hisia zake kwa Justin Bieber na sasa ameeleza kuwa atakuwa anamuandikia ujumbe kila Jumatatu.
Kupitia Instagram, Lulu amepost picha ya Justin Bieber akiwa kifua wazi akipiga kinanda na kuandika ujumbe akiwajibu wale wanaodai kuwa anaota ndoto za mchana na kwamba hatampata

0 comments:

Post a Comment

 

Subscribe to our Newsletter

Contact our Support

Email us: youremail@gmail.com

Our Team Memebers