Wednesday, 20 August 2014

Marekani yalaani mauaji ya mwandishi

James Foley
Rais Barack Obama wa Marekani amesema mauaji ya mwandishi wa habari James Foley raia wa Marekani aliyeuawa na wapiganaji wa kundi la Kiislam yameishtua dunia.
Obama amesema kitendo hicho ni cha kikatili na kisichokubalika mbele za Mungu na kwamba ni matokeo ya mawazo duni yasiyoendana na karne ya sasa.
Kauli hiyo ya Rais Obama inakuja huku wazazi wa mwandishi huyo wakielezea kutoridhishwa kwao na hatua zinazochukuliwa na Marekani kutokana na mauaji ya mtoto wao.
Wazazi hao wamesema wakati mwingine waandishi wa habari huru hawathaminiwi katika aki zao hata pale wanapojitolea maisha yao kwa ujira mdogo

Kufa Kufaana

Ndege ya shirika la ndege ya malaysia wakati wa uhai wake.
Ofisa mmoja mwanamke mwenye cheo cha juu katika bank kubwa iliyoko mjini Kuala Lumpur , Malaysia pamoja na mumewe wameshtakiwa kwa kuiba mamilioni ya dola za kimarekani kutoka katika account za abiria na wafanyakazi wa ndege iliyopotea ya Malaysia Air Line MH370 ambayo ilipotea katika mazingira ya kutatanisha,katika bahari ya Hindi mapema mwezi March.
Pamoja na kushtakiwa huko, mtu na mkewe hao waliepuka makosa mengine yapatayo 16 kati ya makosa hayo yamo wizi,kukaidi amri ya mahakama na makosa mengineyo.
Ofisa huyo Nur Shila Kanan anatuhumiwa kutumia cheo chake vibaya katika benki ya HSBC nchini Malaysia kwa kupoka pesa.
Mwendesha mashtaka aliiambia mahakama moja mjini Kuala Lumpur,Malaysia kwamba wawili hao walifanikiwa kukwapua dola za kimarekani elfu thelathini kutoka katika account tatu tofauti za abiria waliopotea na account moja ni ya mfanyakazi wa shirika hilo la Malaysia

Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan

Maporomoko ya ardhi Japan
Watu wapatao 32 wameuawa katika maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Hiroshima nchini Japan.
Maporomoko ya ardhi yametokea katika eneo la makaazi ya watu karibu na mlima katika vitongoji vya mji wa Hiroshima.
Maporomoko hayo yamesababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa saa 24 kuamkia Jumatano asubuhi zikiwa sawa na kipimo cha mvua za mwezi mzima, limesema Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Japan.
Picha kutoka eneo la tukio zimeonyesha nyumba zikiwa zimefukiwa katika matope na miamba, wakati kikosi cha uokoaji kikielekea nyumba hizo.
Watu wengine tisa bado hawajulikani walipo, limesema shirika hilo.
Afisa mwingine wa serikali ya mtaa katika mji huo amesema "baadhi ya watu wamechukuliwa na maji na ilikuwa vigumu kujua kwa uhakika idadi yao", Shirika la habari la AP limesema.
Mwandishi wa habari wa BBC Rupert Wingfield-Hayes amesema wengi wa waliokufa ni watoto.
Mmoja mwenye umri mdogo kabisa kufariki dunia katika tukio hilo ni mvulana mwenye umri wa miaka miwili, Shirika la habari la Japan, Kyodo limeripoti.
Miongoni mwa waliokufa ni mfanyakazi wa uokoaji mwenye umri wa miaka 53 ambaye amekufa baada ya udongo kuporomoka tena, shirika la Hali ya Hewa la Japan limesema. Aliweza kuwaokoa watu watano wakati wa operesheni hiyo.
Maporomoko hayo yamelikumba eneo la makaazi nje kidogo ya mji wa Hiroshima magharibi mwa Japan
Mtu mmoja akiwa amesimama katika kifusi cha nyumba katika kisiwa cha Izu Oshima kusini mwa Tokyo Oktoba 16,2013
Matope na miamba ilizikumba nyumba kadha, na kuwaacha wakijihifadhi kwenye mapaa ya nyumba.
Wafanyakazi wa uokoaji wanawatafuta watu walionusurika lakini haijafahamika ni watu wangapi wamepotea.
Mmoja wa walionusurika ameliambia shirika la AP: "Niliamka katikati ya usiku na njia ya sehemu ya kuelekea chumba cha maongezi ilikuwa tayari imefurika maji."
"nilisikia sauti ya maji yakiingia, na hatimaye maji kutoka mtoni yaliingia ndani ya nyumba yangu, kwa hiyo nilichukua gari na kuondoka."
Profesa mmoja katika chuo kikuu cha Hiroshima, JJ Walsh, ameiambia BBC kila mtu alishangazwa na kiwango cha upepo huo.
"Watu wengi wamezoea mvua kubwa. Tuna msimu wa mvua. Lakini nafikiri kila mtu alikutwa na hali hii bila kujitayarisha kwa kiwango cha mvua iliyonyesha," amesema.
Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe amewataka maafisa wa serikali katika eneo hilo kuongeza idadi ya wafanyakazi wa uokoaji ili kuimarisha operesheni ya uokoaji".
Mvua zaidi zinaweza kusababisha maporomoko zaidi ya ardhi, wameonya maafisa wa Mamlaka ya Hali ya Hewa.
Sehemu kubwa ya sehemu ya kati na kusini mwa Japan ni milima, huku nyumba nyingi zikiwa zimejengwa katika miteremko mikali.
Mwaka uliopita, kimbunga kilisababisha maporomoko ya ardhi katika kisiwa cha Izu Oshima, kusini mwa mji mkuu wa Tokyo, ambapo watu 35 walikufa

Tuesday, 19 August 2014

Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na Mikwanja ya Bongo Muvi


Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna fedha zilikuwa ni za maandalizi kwa ajili ya dua ya wasanii waliofariki dunia iliyofanyika Jumamosi.
 
“Pia kuna fedha nyingine zilitolewa hivi karibuni, walizitafuna akina Steve na baadhi ya viongozi, kilinuka kishenzi,” kilisema chanzo.
Imeelezwa kuwa katika kikao hicho, hawakufikia muafaka kwani mtuhumiwa (Steve Nyerere) hakutokea pasipo kujulikana sababu za kutofika kwake.
Chanzo kiliendelea kudai, baada ya Steve kutoonekana, baadhi ya viongozi walisusa na kuondoka ambapo Katibu Msaidizi wa Bongo Movie, Devotha Mbaga na Mwekahazina Msaidizi, Sabrina Rupia ‘Cathy’ walitangaza kuachia ngazi endapo muafaka wa fedha zinazodaiwa kuliwa kinyemela hautapatikana.
“Bongo Movie ni kivumbi mtindo mmoja kwa sababu baadhi ya viongozi walio karibu na Steve wanadaiwa kuchikichia fedha nyingi tu, kitu ambacho kinazua mtafaruku kwani siyo mara ya kwanza,” kilisema chanzo hicho.
Mtitu ambaye ni katibu wa klabu hiyo, alipohojiwa kuhusiana na ishu hiyo, alikiri kutokea ambapo alisema hata yeye amejipanga kuachia ngazi endapo hatapewa ufafanuzi wa fedha zinazodaiwa kuliwa na mwenyekiti wao.
Steve Nyerere alipopigiwa simu kwa lengo la kuulizwa juu ya madai hayo, simu yake iliita bila majibu. Jitihada za kumtafuta zinaendelea

Dudu Baya: Sijabahatika kumpata mwanamke ninayemtaka, nakutana na machizi

 Msanii wa Hip Hop kutokea Mwanza, Godfrey Tumaini aka Dudu Baya amesema kuwa majanga anayopata kwenye mahusiano yake yanatokana na kutompata mwanamke anayemhitaji.

 Akizungumza na Mkasi TV hivi karibuni, Dudu Baya amesema wanawake wengi anaokutana naowanakuwa ni machizi. “Kwanza sijabahatika kukutana na mwanake ambae mimi namtaka, nafikiri Mungu bado hajanipa huwaga nakutana na machizi, kwa sababu mimi sipendi, mwanamke aliyelelewa na kufundwa vizuri vitu vya ndani huwezi ukavitoa nje. 

Msanii DUDU BAYA
 Kwa mimi binafsi siongeagi  kwa wanaume wengine, napenda sana siri za familia zibaki kuwa siri za familia. Kwa mfano huyu jinsi alivyoenda kwenye media asitarajie nimtamrudia kabisa, ile tabia ya kwenda kwa jirani na kanga moja ikianguka? Kweli kabisa kicheni party zinaendelea lakini hazisaidii kitu chochote,” alisema

Zitto Kabwe ndani ya ulinzi Mkali

CHAMA cha Alliance Transparency For Change (ACT) Mkoa wa Kigoma, kimeahidi kumlinda na kumtetea Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), kutokana na changamoto zinazomkumba kupitia watu wachache wanaotaka kumwangusha kisiasa.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu Taifa ya chama hicho, Bw. Jaffar Kasisiko, aliyasema hayo juzi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Cine Atlas, kwenye Manispaa ya Kigoma Ujiji.
 
Alisema chama hicho hakipo tayari kuyafumbia macho matatizo yanayomkuta Bw. Kabwe na kumshauri mbunge huyo aachane na CHADEMA badala yake ajiunge na ACT ili aweze kukusanya wanachama kuanzia ngazi ya kitongoji, vijiji, kata na wilaya.
 
Aliongeza kuwa, uongozi wa CHADEMA una hila ya kusambaza maneno kwa umma dhidi ya Bw. Kabwe ili kulinda masilahi yao binafsi badala ya kutetea haki za wanyonge.
 
“Kabwe asipoteze muda wa kulumbana na uongozi wa CHADEMA, huu ni wakati mwafaka kwake kufanya uamuzi makini wa kwenda kuifuta kesi dhidi ya chama chake mahakamani na kujiunga na ACT,” alisema Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa, Msafiri Wamalwa.
 
Katibu Mwenezi Wilaya ya Kigoma kutoka chama hicho, Anzoluni Kibela, alisema ACT imeandaa kadi kwa ajili ya Bw. Kabwe ambapo kuna wabunge 18 wapo tayari kujiunga na chama hicho kwenye uzinduzi rasmi ulipangwa kufanyika mwanzoni mwa Septemba mwaka huu.
 
Naye Kaimu Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Bw. Shaban Mambo, aliwasihi wananchi wamuunge mkono Bw. Kabwe atakapojiunga na chama hicho ili aboreshe hali ya usafiri wa reli ya kati kwa kuwaletea treni inayotumia umeme kwa gharama zake.
 
Baadhi ya wanachama wapya wa ACT akiwemo aliyekuwa Mweka Hazina wa CHADEMA Kigoma Ujiji, Bw. Hamidu Hamis na Katibu wa ACT wilayani humo, Bw. Haji Idd, walisema wamejiunga na chama hicho ili kuleta uwazi  na  uwajibikaj

CCM yajipa mtihani


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye
Kelele ambazo zimepazwa na watu wa kada mbalimbali nchini dhidi ya mchakato wa Katiba mpya zimeifanya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukutana kwa dharura, huku kukiwa na taarifa ndani ya chama hicho kuwa kuna hoja zinazokinzana juu ya kuendelea au kusitishwa kwa muda kwa Bunge Maalum la Katiba.

Kikao hicho kinachokutana mjini hapa leo, inadaiwa kitajadili miito ya wadau mbalimbali ambao wamekuwa wakitoa kauli za kumtaka Rais Jakaya Kikwete aliahirishe Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake hadi hapo maridhiano yatakapopatikana baina ya CCM na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Bunge hilo lililorejea katika ngwe ya pili Agosti 5, mwaka huu baada ya kuahirishwa Aprili 25, mwaka huu kupisha mkutano wa bajeti sasa linahudhuriwa na wajumbe wengi kutoka CCM, wachache kutoka kundi la 201 na wachache zaidi kutoka vyama vidogo vya siasa.

Wajumbe wengi wa vyama vinavyounda Ukawa vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi walitoka nje ya Bunge hilo Aprili 16, mwaka huu wakilalamikia mambo mbalimbali ikiwamo Bunge hilo kuweka kando Rasimu ya Katiba iliyoandaliwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya uenyekiti  Jaji Mstaafu Joseph Warioba na kujadili rasimu mbadala ya CCM.

Wadau hao wanapendekeza kwamba Bunge hilo liahirishwe hadi baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kumalizika.

Chanzo chetu cha habari kutoka ndani ya chama hicho, kimeeleza kuwa kikao hicho cha leo kilitanguliwa jana jioni na kikao kingine cha Sekretarieti ambacho hupanga ajenda zitakazojadiliwa.

“Baadhi ya viongozi wa juu, tayari wameshawasili akiwamo Makamu Mwenyekiti, Philip Mangula ambaye alishinda jana kutwa nzima hapa ofisini akijaribu kuandaa mazingira, Pia nimemuona Nape Nnauye, lakini Rais Kikwete   ambaye ni Mwenyekiti wa CCM yeye ataingia kesho (leo) asubuhi kwa ndege…Na jioni hii (jana) tunampokea Katibu Mkuu (Abdurahaman Kinana),” kilisema chanzo hicho.

NIPASHE lilimshuhudia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akiwasili mjini hapa majira ya saa 8:36 mchana akitokea jijini Dar es Salaam na kukutana faragha na baadhi ya mawaziri katika ukumbi wa Mkapa.

Wajumbe wa kamati kuu waliotakiwa kuwa wamefika Dodoma kwa ajili ya kikao hicho ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge), William Lukuvi; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wassira; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka; Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa; Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Wanawake, Jinsia na Watoto, Pindi Chana.

Wengine ni Shamsi Vuai Nahodha, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi; Dk. Salim Ahmed Salim,  Profesa Makame Mbarawa, Dk. Maua Daftari, Hadija Aboud  na Waziri wa Nchi, Ofisi Makamu wa Rais (Muungano), Samia Hassan Suluhu.

Taarifa za kuaminika zinaeleza kuwa miito ya wadau inayotolewa hivi sasa kila kona ya nchi, ikimtaka  Rais Kikwete aliahirishe bunge hilo, imekuwa ikimpasua kichwa na kwamba kilichozungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema mwishoni mwa wiki iliyopita alisema ni maono ya serikali kukubaliana na wadau, lakini kwa sharti la kuwaanda kisaikolojia Watanzania.

“Zipo ajenda nyingine ambazo nadhani zitajadiliwa, lakini kubwa ni hoja zinazotolewa na baadhi ya waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, shinikizo la vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutaka maridhiano na Rais Kikwete baada ya kususia Bunge Maalum la Katiba, kupokea taarifa ya Kamati ya Maadili ambayo ilipewa kazi ya kufanya marejeo na kuangalia utekelezaji wa adhabu kwa makada wake waliofungiwa kwa muda wa mwaka mmoja,” chanzo hicho kilisema.

Baadhi ya wachambuzi wanasema kuwa kutokana na joto la kisiasa kupanda hususani shinikizo la kutaka kutafutwa kwa maridhiano na kuahirishwa kwa Bunge hilo vinaweza kuwafanya CCM walegeze msimamo wa kuendelea na vikao vya Bunge Maalum.

Hata hivyo, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alipozungumza na NIPASHE jana jioni, alisema kwamba  ajenda ya kikao hicho ni kupokea taarifa ya maendeleo ya mchakato wa Bunge Maalum la Katiba.

Nape alisema kikao hicho ni mfululizo wa vikao vya Kamati Kuu na siyo cha dharura ila ni kamati maalum.

Nape aliongeza kuwa katika kikao hicho watapeana taarifa kuhusu mambo yanayoendelea katika Bunge Maalum la Katiba.
Nape alikanusha taarifa kwamba kikao hicho pia kitajadili suala la wanachama wake sita waliopewa dhabu ya mwaka mmoja kutojihusisha na shughuli za chama hicho na kuwa chini ya uangalizi kutokana na tuhuma kuwa walianza kufanya kampeni kabla ya muda rasmi kinyume cha kanuni na taratibu za CCM.

Wanachama hao waliochukuliwa hatua hiyo Februari mwaka huu ni mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uratibu na Mahusiano), Stephen Wassira; Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.

“Wanaosema kuja ajenda kuhusu adhabu ni uzushi, ni maneno ya mitaani,” alisema Nape na kuongeza kuwa watu wasijenge hali ya wasiwasi na kwamba chama hicho kitatoa taarifa rasmi baada ya kikao hicho.

Dodoma yaongoza kwa shangwe Kili Music Tour

Wakazi wa mji wa Dodoma na vitongoji vyake wakiwa katika Tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2014 lililofanyika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma mjini. Tamasha hili limedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Ukiachana na umati uliofurika kushuhudia onyesho la pili la msimu wa pili wa ziara ya kimuziki ya Kili inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager katika uwanja wa Jamhuri Dodoma, shangwe zilizokuwa zikitoka kwa mashabiki,zimesababisha mkoa huo kuchukua sifa ya kuwa mkoa namba moja kwa uchangamfu kwenye matamasha katika historia ya ziara hiyo kwa mwaka huu.

Onyesho hilo limevunja rekodi ya uchangamfu baada ya wakazi hao kuanza kumshangilia kuanzia msanii wa kwanza hadi wa mwisho huku onyesho likiisha saa sita usiku na kuwaacha mashabiki wakiwa bado na hamu ya kusikia zaidi.

Kwa Dodoma ziara ya muziki ya Kili ilijumuisha wanamuziki zaidi ya tisa na burudani ilidumu kwa saa sita huku msanii wa kwanza kupanda jukwaani akiwa ni Khadija Kopa aliyetumbuiza kwa takriban dakika 45.

Ukiweka pembeni ukongwe wake, kwa mara ya kwanza malkia huyo wa taarab Tanzania alipanda jukwaani na wasindikizaji wa kike ambao walisababisha onyesho lake kuwa changamfu kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Ukiachana na Khadija Kopa wasanii waliofuata wote walifanya kazi nzuri ya kuhakikisha kwamba mashabiki wao wanakata kiu yao ya burudani na awamu ya kwanza ilimalizwa na Mwasiti, Rich Mavoko, Shilole na Christian Bella.

Awamu ya pili ya burudani ilifunguliwa na MwanaFA ambaye alitumbuiza kwa takriban dakika 50 akafuatwa na Izzo B, Ben Pol na kisha onyesho likafungwa kwa mara nyingine tena na kundi matata la Hip Hop liitwalo Weusi kutoka Arusha.

“Kwa kweli watu wa Dodoma wamechangamka sana…hata wamenifanya nifikiri niko kwetu Mbeya…nimependa sana uchangamfu huu umenipa nguvu ya kufanya vizuri zaidi jukwaani,” alisema Izzo B, mmoja wa wasanii wa tamasha hilo.

Baadhi ya wakazi wa Dodoma waliishukuru Kilimanjaro Premium Lager kwa kuwaletea burudani kubwa kwa bei nafuu ya Sh. 3,000 kwani pia walipata bia ya bure kwa wale wenye umri zaidi ya miaka 18.

“Hii haiwezi kutokea kabisa…kuwaona wasanii wote hawa wenye majina kwa Sh.3,000 na bia juu…sio jambo la kawaida hawa wadhamini ni wa kuuungwa mkono kabisa kwani wanasaidia sana katika kukuza muziki wetu na pia wanawajali wasanii,” alisema Paso Elias, mkazi wa Dodoma.

Ziara hii inaratibiwa na kampuni za East Africa TV na Radio, Executive Solutions, Integrated Communications, Aggrey and Clifford na Aim Group.

Ziara ya muziki ya Kili inatarajiwa kuendelea Jumamosi ijayo huku wasanii zaidi ya 10 wanatarajiwa kuelekea mkoani Kigoma.

Serikali yatakiwa kupeleka vifaa vya kutambua ebola Tunduma

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.
Serikali imeombwa kupeleka haraka vifaa vyenye uwezo wa kuwatambua watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa ebola katika mpaka wa Tanzania na Zambia mjini Tunduma ili kuepusha ugonjwa huo kuingia nchini kirahisi kwa kupitia katika mpaka huo.

Mpaka huo unatumiwa na nchi zaidi ya sita za Kusini mwa Afrika.

Ombi hilo lilitolewa na baadhi ya wakazi wa mji wa Tunduma wakati wakizungumza na NIPASHE mwishoni mwa wiki kuhusiana na tahadhari inayoweza kuchukuliwa ili kuepusha ugonjwa huo ambao umeripotiwa kuenea katika nchi za Afrika Magharibi kuingia nchini.

Wananchi hao pia wameitaka serikali kuanza kutoa elimu kwa wananchi wanaoshi maeneo ya mipakani juu ya dalili za ugonjwa huo ili iwe rahisi kwao kujikinga na kutoa taarifa punde wanapomuona mtu mwenye dalili za kuugua ugonjwa huo.

Diwani wa Kata ya Tunduma, Frank Mwakajoka, alisema kuwa hadi sasa, hakuna elimu iliyotolewa kwa wananchi juu ya ugonjwa huo wala tahadhari iliyochukuliwa na serikali kwa wageni wanaoingia nchini kupitia mpaka wa Tunduma.

“Mpaka sasa hakuna jitihada zozote zilizofanywa na serikali kuwakinga Watanzania wasipatwe na maambukizi ya ebola kutoka kwa wageni wanaoingia nchini kupitia mpaka huu," alisema.

Naye Samwel Mkisi, mkazi wa Tunduma, alisema ugonjwa huo wanausikia tu kupitia kwenye vyombo vya habari.

Kaimu Ofisa Afya katika mpaka wa Tunduma, Jamal Mohamed, alisema kazi ya kuwapima wageni wanaoingia na kutoka ili kutambua kama wana maambukizi ya ebola, bado haijaanza kutokana na kutokuwapo kwa vifaa.

Hata hivyo, alisema kuwa tayari serikali imevituma vifaa hivyo kutoka Dar es Salaam na kwamba kazi ya upimaji itaanza mara moja.

Kwa upande wake, Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mipakani mkoani Mbeya ambaye pia ni Kamishna Msaidizi wa Idara ya Uhamiaji, Lusarago Mleka, alisema kutokana na kutokuwapo kwa udhibiti wa kiafya, kunasababisha watumishi wa idara hiyo kufanya kazi kwa hofu

Mapigano yazuka upya Missouri

Rais Obama amehimiza kuwe na utulivu
Maafisa wa polisi huko Marekani walirusha mabomu ya machozi ili kutawanya halaiki ya watu waliokuwa wakiandamana , kwa usiku mwingine, katika mji wa Ferguson, jimbo la Missouri kupinga mauaji ya kijana mweusi.
Maandamano yalitibuka saa chache baada ya hotuba ya Rais Obama akisihi raia kuwa watulivu.
Chanzo cha maandamano hayo ni kuuawa kwa kijana mmoja mweusi, aliyepigwa risasi na maafisa wa polisi tarehe 9, mwezi huu.
Michael Brown, ambaye hakuwa na silaha yoyote, alipigwa risasi mara sita na polisi waliomshuku kuwa alikuwa ametekeleza wizi wa kimabavu katika duka moja mjini Ferguson.
Mwanasheria mkuu wa Marekani anatarajiwa kuzuru mji wa Ferguson atakapokutana na maafisa wanaopeleleza mauaji hayo.
Gavana wa Missouri Jay Nixon aliidhinisha kutumika kwa kitengo maalum cha polisi wa kuzima ghasia waliotumwa eneo hilo hapo jana ili kusaidia juhudi za polisi kurejesha amani, huku amri ya kutoruhusiwa kutoka nje iliyotangaza mwishoni mwa wiki iliyopita ikiondolewa.
Kuuwawa kwa Brown na askari mzungu kulizusha wasiwasi kati ya watu wa rangi tofauti katika eneo hilo, Ferguson, lililo na jamii yenye wakazi wengi weusi.
Afisa wa polisi Darren Wilson alimpiga risasi Michael Brown juma lililopita baada ya kumsimamisha kwa kutembea barabarani, kulingana na ripoti zilizotolewa.
Afisa mkuu wa polisi Ron Johnson, anayeendesha operesheni hiyo ya Ferguson, alisema maafisa wa polisi walilazimika kuingia mjini humo siku ya Jumanne, baada ya waandamanaji kuwashambulia kwa bunduki na kuwarushia mabomu ya petrol na machupa huku watu wawili wakipata majeraha ya risasi.
Alisihi waandamanaji kufanya maandamano yao nyakati za mchana ili kuzuia “baadhi ya wahalifu” kuanzisha vurugu kimakusudi.
"Yeyote ambaye amewahi kushiriki katika maandamano kama haya anafahamu kuwa kuna hatari nyakati za usiku: maandamano ya usiku huruhusu wahalifu wachache kujificha miongoni mwa halaiki ya watu na kujaribu kuleta vurugu,” Jonson alisema.
Maafisa wa polisi wakiwakamata waandamanaji Ferguson
Maafisa wa usalama pia waliamuru wanahabari kuondoka baada ya waandamanaji walikataa kutoa vizuizi barabarani.
Ushahidi wa video unaonyesha maafisa wa polisi wakiwakamata waandamanaji kadhaa, huku msururu wa maafisa wa polisi waliojihami wakiingia kukabiliana na umati wa watu waliojawa na hasira
Mpigapicha anayefanyia shirika la Getty, ni mmojawapo ya waliotiwa nguvuni, hata hivyo aliachiliwa huru baadaye.
Katika taarifa ya hapo awali, mwanasheria mkuu wa Marekani Eric Holder alisema “atazuru eneo hilo binafsi” hapo kesho ili kupatana na wapelelezi kutoka kwa ofisi ya uchunguzi FBI na waendesha mashtaka.
"Watu wanataka kufahamishwa yaliyojiri na kupelekea Michael Brown kuuawa, lakini nasihi raia wawe watulivu huku tukiendeleza upelelezi,” bwana Holder alisema.
Pia alisisitiza kuwa uchunguzi huo “ulikuwa hatua ya muhimu ili kurejesha imani kati ya watekelezaji wa sheria na jamii, sio tu katika eneo la Ferguson, bali hata katika maeneo mengine.”
wakati huohuo Rais Obama alielezea kuwa anaelewa “hisia za mapenzi na hasira” zinazozushwa kufuatia mauaji ya kijana huyo.
Matukio kulingana na nyakati
Lakini alisema,vitendo vya hasira, “kuiba au kujihami kwa bunduki, au hata kushambulia maafisa wa polisi, ni vichochezi vya ghasia zaidi.”
Rais Obama alisema alitambua kuwa katika jamii nyingi nchini Marekani “kulikuwepo na “ghuba la kutoaminiana” kati ya wakazi na watekelezaji wa sharia.
"Katika jamii nyingi, vijana wengi wa rangi huwachwa nyuma na hutazamwa kuwa watu wa kuogofya,” Rais Obama alisema.
Hapo awali, familia ya Michael Brown ilimtumia daktari mmoja, kufanyia uchunguzi wa mwili wa Micheal.
Daktari huyo, Michael Baden, alisema kuwa aliamini kuwa Brown alipigwa risasi sita.
“Brown angeweza kuishi hata baada ya majeraha hayo yote ya risasi, lakini risasi aliyopigwa kichwani ilisababisha kifo chake,” alisema.
Rais Obama amehimiza kuwe na utulivu
Daktari Baden alisema hakukuwepo na dalili zozote za mapambano, kwani huenda alipata chembe za kutu usoni alipoanguka kwenye veranda baada ya kupigwa risasi.
Aidha Baden aliamini kuwa afisa Wilson hakumpiga risasi Brown akiwa hatua za karibu naye, kwani hakukuwepo na masalio ya baruti kwa mwili wa Brown, ishara kuwa afisa huyo alikuwa zaidi ya futi mbili mbali na Brown.
Mashahidi wamesema kuwa Brown alipigwa risasi akiwa ameinua mikono yake juu akiwa amesalimu kwa amri, huku maafisa wa polisi na wanaomtakia mema Wilson wakisema kuwa Wilson alifyatua risasi wakipigana na Brown.
Afisa huyo aliyempiga bwana Brown risasi, Darren Wilson, aliachishwa kazi bila malipo kufuatia mauaji hayo, huku familia ya bwana Brown ikitoa wito akamatwe na kufunguliwa mashata .
Uchunguzi mwingine utafanyiwa mwili wa Brown na idara ya haki ya Marekani, kuongezea kwa makadirio ya Baden na maafisa wa County ya St. Louis.

Ebola:Wagonjwa 17 wapatikana Monrovia

Mmoja wa wanaume waliovamia kituo hicho na kumbeba mgonjwa

Waziri wa habari wa Liberia Lewis Brown amesema kuwa wagonjwa wote 17 wa Ebola waliokuwa wametoweka kutoka kwa kituo cha kuwatenga na umma wamepatikana.
Kupatikana kwao imekamilisha idadi ya wote 37 waliokuwa katika zahanati iliyovamiwa na wenyeji jumamosi iliyopita.
Wagonjwa 37 walikuwa katika kituo hicho cha Ebola kilichoko karibu na kitongoji cha WestPoint Viungani mwa mji mkuu wa Monrovia kabla ya wenyeji kukivamia na kuwaachilia huru wagonjwa waliokuwemo kabla ya kukipora.
Waziri Brown ameiambia BBC kuwa wote walijipeleka katika hospitali kuu ya JFK katika mji mkuu wa Monrovia.
Awali waziri huyo alielezea kutamaushwa kwake na wizi huo ambao alisema ni jambo la kipuzi kujishirikisha na wagonjwa wa Ebola ilihali watu wengi tu wamepoteza maisha yao.
'' tukio hilo la WestPoint ni la kuvunja moyo sana maanake inahujumu juhudi zetu zote za kuzuia kuenea kwa homa hii ya Ebola,natumai tutarekebisha hali hii'' alisema bwana Brown.
20 waliosalia wako katika zahanati mbalimbali karibu na mji mkuu Monrovia .
Zahanati moja inaendeshwa na Hospitali kuu ya John F. Kennedy ilihali wengine wako katika zahanati ya ELWA nje ya mji huo.
Wote hao watachunguzwa kabla ya hatua madhubuti kuchukuliwa kwa maslahi ya Umma.
Katika hatua ya kushtua sana wakaazi wa vitongoji vya mji wa Monrovia walivamia zahanati hiyo iliyokuwa ikitumika kama kituo cha kuwatenga wagonjwa wa homa ya Ebola wakaipora na kuwaruhusu wagonjwa kutoroka.
''Kwa sasa tunashughulikia hali hii ilivyo kwani watu sasa wamerejea miongoni mwa jamii na hivyo kueneza maambukizi zaidi''
Zaidi ya watu 17 bado hawajulikani waliko baada ya kutoroka kutoka kituo cha kuwatenga wagonjwa wa Ebola.
''Kufuatia uvamizi huo tumejifunza mengi ''
Ajabu ni kuwa watu walikuja ndani ya kituo hicho walijileta huko wenyewe kwa hivyo sisi tunachukulia kuwa labda wagonjwa hao walitaka kusalia huko lakini wakalazimishwa kutoroka kukimbilia maisha yao kwa sababu wavamizi walikuwa wanapora mali ya Westpoint.
Brown alisema kuwa kwa sasa zahanati hiyo ya Westpoint Imefungwa lakini kuna mipango ya kuifungua tena.
''Tunafahamu kuwa kuna watu ambao bado wanashauku iwapo Ebola ipo ama hakuna lakini ukitizama takwimu kutoka jimbo la Lofa utaona kuwa idadi ya wahasiriwa imeanza kupungua.''
Lofa ndiyo iliyokuwa kitovu cha mlipuko ulioko sasa wa homa hii ya Ebola.
Zaidi ya watu 17 bado hawajulikani waliko baada ya kutoroka kutoka kituo cha kuwatenga wagonjwa wa Ebola.
Taharuki ilitanda kote nchini humo ,baada ya kituo kilichotengwa na kuwekewa kwa sababu ya kutoa matibabu kwa wagonjwa wa Ebola, kilishambuliwa na zana kuporwa katika mji mkuu wa Liberia, Monrovia.
Watu 37 waliowekwa hapo kuangaliwa kama wana dalili za Ebola walitoroka baada ya kituo hicho kuporwa Jumamosi usiku.
Washambuliaji walipora magodoro na vitu vingine.
Mwandishi wa BBC katika kanda hiyo anasema pengine washambuliaji walikerwa kuwa kituo hicho kimewekwa katika mtaa wao.
Mafisa wakuu nchini Liberia wanajaribu kuwatafuta wagonjwa waliotoroka ili kuwarejesha tena kwenye kituo hicho.
Watu zaidi ya 400 wamekufa kwa sababu ya ebola nchini Liberia kati ya zaidi ya 1,000 katika kanda ya Afrika Magharibi

Mikoba ni sehemu ya urembo wa mwanamke




Pindi uwapo katika safari zako,utaona jinsi wanawake wanavyobeba mikoba ya aina mbalimbali.
Wakati mwingine mingi ya mikoba huwachukiza na wengine huwa kichekesho na ingawa wengine urembo wao huambatanishwa na kujipachika tu, vitu maarufu kama vipima joto kwa lugha ya kileo.
Ukiangalia hasa mijini hakuna kabati la nguo la mwanamke ambalo litakosa mikoba, tena ya aina mbalimbali. Kwa mwanamke kuwa na mkoba moja si sawasawa, kwa wale wanaokwenda na wakati kuwa na aina nyingi ya mikoba hii hutokana na ukweli kuwa mikoba hiyo ni sehemu ya mavazi na huambatana na si tu aina ya pamba iliyopigwa bali aina ya viatu vinavyompa kampani mwanamke.
Mwanamke ni kiumbe mrembo kabisa na jinsi anavyozidi kumechisha vitu anatakiwa kuwa mrembo na mwangalifu zaidi kwani anahitaji kujiweka katika kiwango kinachostahili katika kazi zake na uonekano wake.
“Mavazi yako unayovaa yanaweza kabisa kubadili maisha yako” anasema Trinny Woodall mmoja ya watu ambao wako makini kabisa na masuala ya unadhifu wa wanawake wa wanawake katika mitoko ya aina mbalimbali aliyeko Afrika Kusini.
Inakuwaje unapokuwa na vazi tofauti na mkoba wako wa kwapani na ndiyo huo mkoba mmoja pekee unaotumia kwa kwenda pati, kwenda safari. Kwenda kazini na kadhalika?
Hakika kwa mwanamke anayejijali, anatakiwa kuwa na mikoba ya aina tofauti kwa kuzingatia haja ya shughuli zake na pia mavazi yake.
Unachotakiwa siku zote si tu kuwa na mikoba mingio, najua unaweza kuwa na mikoba, unaoupenda lakini ni dhahiri kwamba mikoba hiyo unatakiwa lakini ni dhahiri kwamba mikoba huyo inatakiwa kuwa na mwendo sawa na mavazi yako ili kukupa kitu bomba kinachoweza kuwafanya wanaume wakutazame mara mbili mbili na wanawake wenzako wakuonee gere.
Nina sababu ya kukuambia hivyo lakini wapo wanawake waliojaza mikoba kibao lakini hawaitumii lakini hapo mwanzao waliponunua walijua kwamba ni mikoba bomba kabisa yenye mvuto wa kimapenzi hasa.
Kitu cha kwanza kuzuia ni ule ufujaji wa kununua mabegi yasiyotakiwa, yaani ni kuwa makini na haja yako mwenyewe na mapenzi yako na namna wewe mwenyewe ulivyo.
Ndiyo kusema mkoba lazima uzinagatie mwili wako, upenzi wa maisha yako.
Watengeneza mikoba wengi wanaonya kabisa uchukuaji wa mikoba kwa kuiona bomba kumbe hairandani na wewe unayeibeba.
Mathalani wewe ni mrefu na mwembamba, mikoba yenye mduara ni mizuri lakini kama wewe ni mfupi uliyejazia kiasi chake mkoba unaofanana na ule wa mstatili, mrefu kiasi na mweroro ni kiboko yake.

Ningekushauri kabla hujanunua na kuvaa mikoba hiyo hebu jitazame kwanza katika kioo kwani ni lazima ukubali kwamba uko safi ndiyo uchangamke na mtaa, unapokuwa umejiangalia kwenye kioo utapata namna bora namna bora ya muonekano kama vile unavyojaribu nguo kwenye kioo.
Mikoba myembamba iliyobana hasa huonekana kuwa bomba kwao kama wewe ni mwembamba pia na kama unataka mtu kujisahau kwa namna yake katika mwili wako, lakini haitakusaidia sana kwa matiti yako ni madogo na mikono yako haijajaza inavyostahili.
Halafu tazama sana mikanda ya mikoba ina maana kubwa zaidi ni ndiyo maana ni vyema ikazingatiwa urefu wake katika mabega yako kwani kwa vyovyote vile urefu wake utakavyobeba mkoba wako ina kitu inakifanya katika mwisho wake.

Kwa hiyo kama hutaki mushkeri katika maeneo ya juu ya mapaja usitwae mkoba unaofika pale. Wengi wa wanawake hutokea bomba kama mkoba haufiki katika kiuno au juu yake kidogo, kwani kuketi hapo chini inakuwa mambo si poa katikati ya mwili kwa upande wa juu ndiyo haswaa sawa.
Ni muhimu ukitambua ya kwamba ukubwa wa mkoba wako unaambatana na wewe unaeleweka.
Lakini niseme moja tu mikoba mingi huwa bomba kama haijazwi vitu lakini mathalani kama una simu, shajara na vikorombwezo vya uzuri mkoba mwembamba haufai kwani utatuna na kuchukiza.
Mbunifu wa FUNEKA, Tasleem Bulbulia anasema kwamba mtu wa aina hii kwa kulingana na kazi zake na stahili zake za maisha mikoba mipana ni saizi yake. Ndiyo kusema kazi na stahili yako ndiyo pia itazingatia aina ya mkoba unaotakiwa kuwa nao.
Ulishatambua personaliti yako na aina yako ya maisha ni vyema ukatambua ukweli kuwa chagua kulingana na wewe na si yule kwani kivigezo haiwezekani na kwa maisha pia haiwezekani

Monday, 18 August 2014

Unapenda kuonekana ‘natural’?

Wako wanaoamini kuwa mrembo ni lazima uwe na ngozi nyeupe, wengine hudhani kuwa ili kuonekana mrembo, lazima uwe na nywele ndefu, lakini pia wapo wanaodhani kwamba ili uwe mrembo ni lazima uwe na umbo namba nane.
Hiyo yote ni mitazamo tu, lakini tafsiri halisi kutoka kwa wataalamu wa urembo ni kwamba; urembo ni hali ya kuwa na afya bora.
Kama ni hivyo, kipi kifanyike ili uwe mrembo?
Kabla hujafanya chochote kuhusu afya yako, unatakiwa kuamini kwamba wewe ni mrembo. Ikiwa utasimama katika hilo ni kweli utakuwa mrembo siku zote.
Safisha ngozi yako
Hakikisha ngozi yako inakuwa safi muda wote. Unaweza kutumia njia mbalimbali kama vile kuondoa ngozi zilizokufa mara kwa mara. Kuondoa mafuta yaliyogandamana katika ngozi kwa kufanyia masaji ngozi yako ili kurahisisha mzunguko wa damu yako.
Ikiwa hili litafanyika kwa umakini ni wazi kuwa matatizo ya kuwa na chunusi au weusi katika ngozi yako havitakuwepo kwako.
Tumia bidhaa za nywele, ambazo zinaendana na nywele zako na hakikisha unazingatia mambo muhimu katika uboreshaji wa nywele zako.
Miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na kutokutumia vifaa vinavyounguza vywele.
Epuka kuosha nywele kwa maji ya moto, pia kuchana nywele zikiwa na maji, kwani unaweza kusababisha kukatika kwa nywele zako.
Safisha meno yako
Usafi wa meno pia ni miongoni mwa mambo ya kuzingatia unapoamua kuboresha urembo wako. Hakikisha unapiga mswaki walau mara mbili kwa siku kila siku au kila baada ya kula.
Usipake vipodozi mara kwa mara
Tumia vipodozi pale inapobidi, usipendelee kutumia vipodozi mara kwa mara kwani wakati mwingine matumizi ya mara kwa mara ya vipodozi, husababisha madhara katika ngozi yako, hasa unapotumia bila kufuata maelekezo ya wataalamu.
Fanya mazoezi
Hakikisha mazoezi yanakuwa sehemu ya maisha yako, hii itasaidia kukufanya uonekane siyo tu mrembo, bali pia mwenye kujiamini.
Pata usingizi wa kutosha
Hakikisha unapata usingizi wa kutosha kila siku. Kwa mujibu wa wataalamu, unatakiwa kulala si chini ya saa nane kila siku. Ikiwa utapata usingizi wa kutosha ni wazi kuwa macho yako yataonekana yenye nuru siku zote. Pia utazidi kuonekana kuwa mrembo zaidi

Arsenal,Basiktas kumenyana leo

Kocha wa Arenal, Arsene Wenger
Beki wa kushoto wa Arsenal, Kieran Gibbs atakosa mechi zote za ligi ya mabingwa dhidi ya Besiktas baada ya kuumia eneo la uvungu wa goti.
Gibbs atakaa benchi kwa takriban majuma matatu baada ya kuumia wakati wa mchuano kati ya Arsenal na Crystal Palace siku ya jumamosi.
Pia mshambualiaji Yaya Sanogo hajasafiri kwenda uturuki kwa ajili ya mpambano wa leo
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema anatamani kupambana na timu zilizo juu zaidi barani ulaya.
Siku ya jumanne Arsenal itacheza mechi ya kwanza dhidi ya Basiktas nchini Uturuki.
Arsenal iliidhidbiti klabu nyingine ya Uturuki Fenerbahce katika hatua ya makundi msimu uliopita

Chelsea yaichapa Burnley 3-1


Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho
Chelsea ilipeleka kilio kwa Burnley usiku wa jumatatu katika mchuano wa ligi kuu ya England ambapo Chelsea iliitandika Burnley mabao 3-1.
Burnley ilitangulia kufunga bao moja dhidi ya Chelsea kupitia mchezaji wake Scott Arfield katika kipindi cha kwanza cha mchezo hali iliyotishia kuwa pengine Chelsea ingepoteza katika mchezo huo, hata hivyo , goli hilo halikudumu kwa muda mrefu,ambapo kazi nzuri ya wachezaji wa Chelsea kama vile Diego Costa,Ivanovich na Andre Shule ilitosha kabisa kuitoa jasho Barnley.

Rais Obama asifu majeshi ya Iraq na kurd


Rais wa Marekani, Barack Obama
Rais wa Marekani Barack Obama amesema majeshi ya Iraq na yale ya Kikurd yamepiga hatua kubwa kulitwaa tena bwawa muhimu la Mosul kutoka kwa wapiganaji wa kiislamu kaskazini mwa Iraq.
Amesema wamethibitisha kwamba wanauwezo wa kufanya kazi kwa pamoja na wataendelea kuungwa mkono na majeshi ya Marekani, ambayo tayari yamefanya mashambulio Zaidi ya anga katika eneo linalokaliwa na wapiganaji wa kiislamu.
Ripoti zinasema kuwa mapambano katika juhudi za kudhibiti maeneo yanayozunguka bwawa hilo yanaendelea.
Katika hatua nyingine kundi la himaya ya kiislamu linalofanya mashambulizi dhidi ya Wakurd limekanusha kwamba wapiganaji wake wamepoteza udhibiti wa bwawa hilo.
Wakati huohuo kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis amesema jumuia ya kimataifa itakuwa na haki katika kuchukua hatua dhidi ya wanamgambo hao .
Papa Amesema ni halali kuzuia kile alichokiita dhuluma ya kichokozi. Lakini ametahadharisha kuwa hatua yoyote itakayochukuliwa lazima ifanyiwe tathmini. kusimamisha na kwamba hakusema. Mwandishi wa BBC MJINI Roma Italia anasema papa Fransis hajaonesha kuunga mkono mashambulio ya anga yanayofanywa hivi sasa na Marekani dhidi ya wapiganaji hao wa kiislamu

Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya




Tangu shambulizi la Westgate, harakati za kudhibiti ulinzi zimekuwa zikikosolewa
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupamba na ugaidi nchini Kenya kwa kufanya mauaji ya kiholela.
Human Rights Watch inasema kuwa pia imepata ushahidi wa watu kutoweka kwa lazima, kushikwa bila sababu na kudhulumiwa kwa washukiwa.
Shirika hilo pia linasema kuwa watoa misaada wa kimataifa wanastahili kusitisha misaada yao kwa polisi wa kupambana na na ugaidi kikosi kilichobuniwa baada ya kushambuliwa kwa ubalozi wa marekani mjini Nairobi mwaka 1998

Ebola:Wagonjwa 17 hawajulikani waliko


Mmoja wa wanaume waliovamia kituo hicho na kumbeba mgonjwa
Waziri wa habari wa Liberia Lewis Brown amesema kuwa wagonjwa 17 kati ya 37 waliokuwa katika zahanati iliyokuwa ikitumika kama kituo cha kuwatenga wagonjwa wa Ebola hawajulikani waliko.
Waasiriwa hao wa Ebola walikuwa wametengwa katika kituo hicho kilichoko karibu na kitongoji cha WestPoint Viungani mwa mji mkuu wa Monrovia kabla ya wenyeji kukivamia na kuwaachilia huru wagonjwa waliokuwemo na kukipora.
'' tukio hilo la WestPoint ni la kuvunja moyo sana maanake inahujumu juhudi zetu zote za kuzuia kuenea kwa homa hii ya Ebola,natumai tutarekebisha hali hii'' alisema bwana Brown.
20 waliosalia wako katika zahanati mbalimbali karibu na mji mkuu Monrovia .
Zahanati moja inaendeshwa na Hospitali kuu ya John F. Kennedy ilihali wengine wako katika zahanati ya ELWA nje ya mji huo.
Wote hao watachunguzwa kabla ya hatua madhubuti kuchukuliwa kwa maslahi ya Umma.
Katika hatua ya kushtua sana wakaazi wa vitongoji vya mji wa Monrovia walivamia zahanati hiyo iliyokuwa ikitumika kama kituo cha kuwatenga wagonjwa wa homa ya Ebola wakaipora na kuwaruhusu wagonjwa kutoroka.
''Kwa sasa tunashughulikia hali hii ilivyo kwani watu sasa wamerejea miongoni mwa jamii na hivyo kueneza maambukizi zaidi''

Zaidi ya watu 17 bado hawajulikani waliko baada ya kutoroka kutoka kituo cha kuwatenga wagonjwa wa Ebola.
''Kufuatia uvamizi huo tumejifunza mengi ''
Ajabu ni kuwa watu walikuja ndani ya kituo hicho walijileta huko wenyewe kwa hivyo sisi tunachukulia kuwa labda wagonjwa hao walitaka kusalia huko lakini wakalazimishwa kutoroka kukimbilia maisha yao kwa sababu wavamizi walikuwa wanapora mali ya Westpoint.
Brown alisema kuwa kwa sasa zahanati hiyo ya Westpoint Imefungwa lakini kuna mipango ya kuifungua tena.
''Tunafahamu kuwa kuna watu ambao bado wanashauku iwapo Ebola ipo ama hakuna lakini ukitizama takwimu kutoka jimbo la Lofa utaona kuwa idadi ya wahasiriwa imeanza kupungua.''
Lofa ndiyo iliyokuwa kitovu cha mlipuko ulioko sasa wa homa hii ya Ebola.

Zaidi ya watu 17 bado hawajulikani waliko baada ya kutoroka kutoka kituo cha kuwatenga wagonjwa wa Ebola.
Taharuki ilitanda kote nchini humo ,baada ya kituo kilichotengwa na kuwekewa kwa sababu ya kutoa matibabu kwa wagonjwa wa Ebola, kilishambuliwa na zana kuporwa katika mji mkuu wa Liberia, Monrovia.
Watu 37 waliowekwa hapo kuangaliwa kama wana dalili za Ebola walitoroka baada ya kituo hicho kuporwa Jumamosi usiku.
Washambuliaji walipora magodoro na vitu vingine.
Mwandishi wa BBC katika kanda hiyo anasema pengine washambuliaji walikerwa kuwa kituo hicho kimewekwa katika mtaa wao.
Mafisa wakuu nchini Liberia wanajaribu kuwatafuta wagonjwa waliotoroka ili kuwarejesha tena kwenye kituo hicho.
Watu zaidi ya 400 wamekufa kwa sababu ya ebola nchini Liberia kati ya zaidi ya 1,000 katika kanda ya Afrika Magharibi

Kweli Njia kuu Foleni ....Ni Kuchepuka Mwanzo Mwisho


Mwanamke Usafi kitandani Muhimu, sio Kitu Kinanuka Kama Panya Kafia Humo…!

Tatizo la mpenzi wangu ni kutoa harufu kali na tutoa utoko mweupe wakati tukiwa faragha.Nimevumilia kwa muda wote huo nami nimejitahidi sana kutafta dawa lakini tatizo naona haliishi.
Japo nampenda sana lakini hali ile inasababisha nikose hamu ya tendo la ndoa na kusababisha niishie round moja na hilo round moja najitahidi kumweka katika style ambayo hata harufu ikitoka sitoweza kuiskia moja kwa moja.
Mpenzi wangu huyo ni mzuri,ana shape nzuri kwakweli Mungu kamjalia lakini kama wasemavyo watu wazima kuwa Mungu hakupi vyote basi yule ndo kapata huo ugonjwa.
Mara ya kwanza wakati nasex nae ile wakati tunafanya romance sasa nikawa nimepeleka mkono sehemu ya papuchi bt nilikuwa bado sijamvua skin jeans lakin harufu iliweza kupita kwenye chupi,tyte na mpaka skin jeans na kufikia mkono wangu….aibu gani mwanamke kuwa na harufu hiyo.
Kwakweli nilijitahid kuvumilia harufu hiyo na utoko lakini naona nimeshindwa maana hata tokea nimekuwa nae mtoto wa kiume sikuwahi kuzama chumvini kwa kuhofia kupata fangasi.
Nahisi nakuwa simfikishi kileleni maana nakosa hata ujasiri wa kumwandaa kutokana na harufu hiyo.
Tatizo jingine huyo mpenzi akinyoa nywele sehemu za siri kama kwapa na papuchi anatokwa na mapele,kwakweli nakuwa nakosa amani.
Naomba ushauri wa namna ya kumaliza hili tatizo au dokta mzuri wa wanawake ili niweze kumsaidia huyu dada huko mbeleni asije kuhadhirika.
Asanteni sana

Mambo Muhimu Ya Kufanya Baada Ya Tendo

Wanaume na wanawake walio wengi pindi wanapomaliza kufanya mambo yao na wapenzi wao chumbani hujikuta wakikaa pembeni bila kuzingatia vitu muhimu vinavyotakiwa kufanywa pindi wanapomaliza kusex. 

VIFUATAVYO NI VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA PINDI UNAPOMALIZA TENDO NA MPENZI WAKO CHUMBANI:
1. MFUTE FUTE MPENZI WAKO - Mpenzi msomaji faham kuwa unapokwenda kufanya mapenzi na mpenzi wako hakikisha unakwenda ukiwa na kitambaa kisafi (LESO) hiki kitambaa unakuwa nacho maalum kwa ajili ya kumfuta mpenzi wako pindi mnapomaliza kufanya mapenzi. Hakikisha unapomaliza kusex na mpenzi wako unamfuta jasho mwilini na pitisha kitambaa chako katika sehemu zake za siri mfute fute taratibu mpenzi wako usikubali mpenzi wako ajifute yeye mwenyewe na usisubiri akuambie umfute. 

2. MUULIZE MPENZI WAKO KAMA KARIDHIKA AU BADO ANAHITAJI KUENDELEA: - Wapenzi waliowengi wanapomaliza kufanya mapenzi huwa hawaulizani swali kama hili wengi hujistukia na kuamua kuvaa nguo zao na kuondoka hili ni kosa kubwa, siku zote katika mapenzi mwanaume huwah kufika kileleni kuliko mwanamke hivyo mwanaume hujikuta ameisharidhika ikiwa mwanamke hajaridhika hivyo nivizuri pindi unapojiona umeridhika muulize na mpenzi wako kama nae karidhika akikuambia tayari basi mnaweza kuishia hapo au akikwambia bado ni wajibu wako wewe kuendelea tena kufanya mapenzi mpaka nayeye aridhike. Lakini kunatatizo moja hujitokeza sana kwa upande wa wanawake wanawake walio wengi wanapoulizwa na wapenzi wao kama wameridhika huwajibu wapenzi wao "Ndio nimeridhika" lakini kumbe bado hawajaridhika. Napenda niwaambie wanawake wote wenye mtindo huu kuwa si mzuri kuweni wakweli pindi unapoona hujaridhika usimfiche mpenzi wako mwambie ukweli kwani ni haki yako kuridhishwa

Nimetembea na Mke wa Bosi na Kapata Ujauzito....


Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss wangu.  

Toka nimeanza kazi hii yapata mwaka mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia, kuna siku tulisafiri kwenda Mtwara kwenye biashara za huyu mama, kufika kule yule mama alilipia chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote na nikikataa ndiyo itakuwa mwisho wa ajira yangu nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara, sikuwa na jinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo na kiukweli mshahara niliongezewa.

Sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndiyo mwenye huo mzigo ila akanishauri niuchune kwa sababu mumewe anajua kwamba mkewe ni mjamzito

LULU awajibu wanaosema hawezi kumpata Justine Beiber

Muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu'.
Muigizaji  wa filamu Elizabeth Michael 'Lulu' anaendelea kuonesha hisia zake kwa Justin Bieber na sasa ameeleza kuwa atakuwa anamuandikia ujumbe kila Jumatatu.
Kupitia Instagram, Lulu amepost picha ya Justin Bieber akiwa kifua wazi akipiga kinanda na kuandika ujumbe akiwajibu wale wanaodai kuwa anaota ndoto za mchana na kwamba hatampata

Mwanafunzi wa chuo cha SAUTI apiga picha za utata




TUNALAANI VITENDO HIVI VISIVYO NA MAADILI MAZURI....

 

Subscribe to our Newsletter

Contact our Support

Email us: youremail@gmail.com

Our Team Memebers